Mwonekano Wa Siku

Tuma wimbo pamoja na cover kwa email benedictoacley@gmail.com maelezo zaidi 0621 416 350.

Mwonekano Wa Siku

Tuma wimbo pamoja na cover kwa email benedictoacley@gmail.com maelezo zaidi 0621 416 350.

Mwonekano Wa Siku

Tuma wimbo pamoja na cover kwa email benedictoacley@gmail.com maelezo zaidi 0621 416 350.

Mwonekano Wa Siku

Tuma wimbo pamoja na cover kwa email benedictoacley@gmail.com maelezo zaidi 0621 416 350.

Mwonekano Wa Siku

Tuma wimbo pamoja na cover kwa email benedictoacley@gmail.com maelezo zaidi 0621 416 350.

Friday, 4 April 2014

SIRI YA MTUNGI KATIKA AMVCA AWARDS 2014


Macho  na masikio yote Jumamosi ya leo yataelekezwa Lagos ambako tuzo za AMVCA (Africa Magic Viewr's Choice Awards) zitafanyika.  Tuzo za AMVCA zilianzishwa ili kutambua na kusherehekea mchango wa wandaaji filamu, waigizaji na wataalam wa Afrika kufuatia mafanikio ya Bara hili katika tasnia ya filamu na televisheni.

Tanzania inajivunia kuwa sehemu ya mashuhuda, kufuatia kupendekezwa katika vipengele kadhaa kutoka tamthilia maarufu, Siri ya Mtungi iliyoingia katika vipengele vifuatavyo:

·         Best Make Up – Rehema Samo

·         Best Wardrobe – Doreen Estazia Noni

·         Best Art Direction – Kyle Quint

·         Best Sound Editor – Jordan Riber

·         Best Actor in a Drama – Juma Rajab

·         Best Indigenous language movie/series – Jordan Riber

·         Best TV Series (comedy/drama) – John Riber



Timu nzima itakayoondoka itasindikizwa na Waziri wa Habari, Dr. Fenella Mukangara.

Tuzo za mwaka jana zilihudhuriwa na baadhi ya majina makubwa katika uigizaji barani Afrika. Baadhi ya filamu ambazo zilibeba tuzo zilikuwa Otelo Burning (Filamu bora), Skeem (Filamu bora - Ucheshi) na The Mirror Boy (Filamu Bora ya tamthlia). Waigizaji Bora wa kike na kiume walikuwa OC Ukeje toka Nigeria na Jackie Appiah wa Ghana.

Watazamaji wanaweza kuangalia tukio zima la utoaji wa tuzo kupitia Africa Magic kuanzia saa moja jioni.

Tunaitakia Siri ya Mtungi kila la heri.

Tazama Wema Sepetu alivyoanzisha mtiti katika Ofisi za Global Publishers

Wema afanya ziara ya ghafla katika Ofisi za Global Publishers pande za Bamaga, Fanya kama unatizama hii video na utaelewa mchezo mzima.

          

Nanukuu walichoandika Global Publishers kuwenye Channel yao ya Youtube 
" HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. "

JUA MAMBO MUHIMU WAKATI WAKUFANYA TENDO LA NDOA KWA WATU WENYE MAUMBO MANENE




Mmoja kati ya wanasayansi maarufu hapa duniani amegundua kuwa watu wanene wanapata raha zaidi katika tendo la ndoa ukilinganisha na wtu wembamba. Mwanasayansi huyo aitwaye Dr. James Watson ambaye amekwishawahi kushinda tuzo za NOBEL kwa ubingwa wake ulipelekea ugunduzi wa muundo wa DNA,anaamini kabisa kuwa watu wanene wana uwezo mkubwa wa kufurahia tendo la ndoa kuliko wembemba.
Watu wanene wanazo sababu za kibiology zinazowafanya waweze kupata raha zaidi wafanayapo tendo la ndoa. Ktk uchunguzi wake wa kemikali mbalimbali zilizomo kwenye wa mwanadamu Dr. Watson ameona kuwa mafuta ya mwili yanaongeza kemikali iitwayo ENDORPHIN inayosababisha mtu ajisike raha. Kwa watu wembamba aligundua kuwa upungufu wa mafuta mwilini ulisbabisha ubongo usiapate ENDORPHINS za kutosha hivyo kupelekea kuwepo na upungufu wa raha katika tendo la ndoa. Watu wanaosema kuwa kufanya tendo la ndoa na watu wanene hakuna raha na ni kazi ngumu ni waongo kabisa. Ukweli ni kwamba raha ya tendo la ndoa haipungui utamu wake kutokana na unene wa mtu, bali hupungua kutokana na ukosefu wa ufundi na hofu zisizo na msingi wowote. Hofu ya kushindwa kumridhisha mwenzio siku zote lazima itakuzuia usipate raha kamili katika jambo lolote lile.
.
Ukosefu wa ufundi wa kufanya tendo la ndoa huleta hofu,na hata kiasi kidogo tu cha hofu huweza kusababisha mtu kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi na hivyo kushindwa kupata raha kamili. Dr. Helen singer ambaye ni mwanasaikolojia maarufu anasema" kama mwanamume huyu atakuwa hajui umuhimu wa kinembe kilicho sehemu ya juu ya uke akafanya tendo la ndoa na mwanamke mnene atashindwa kabisa kumridhisha mwanamke huyo. Mwanaume wa aina hiyo akishasimamisha uume wake atauingiza kwa mwanamke na harahara atapizz(kumwanga shahawa) bila kufikiria kuwa mwanamke huyo atakuwa bado hajafika kileleni". Wanawake wengi wanene wameogopa kuanzisha mahusiano na wanaume kwa hofi ya kudharauliwa na hata wakifanikiwa kuanzisha uhusiano wanakuwa na wasiwasi kuwa uhenda wataachwa kwa sababu ya maumbile yao makubwa. Utawaone wanawake wanene wakivaa mavazi yasiyoleta  

  mvuto kwa wanaume kwa sababu imani kuwa kwa sababu ya unene wao hawapendeki. Wanawake wengine wapatapo wapenzi wakti wa kufanya mapenzi hupendelea kufanya mapenzi baada ya taa kuzimwa,wanaona giza litaficha ubaya wa unene wao, jambo ambalo huondoa kujiamini na kupunguza mvuto kwa mwanaume yeyote.
Wanawake wengi wanene wanajiona kuwa hawathaminiki kwa wanaume kutokana na unene wao, hali hiyo usababisha kuharibu mvuto wao na wengi huachwa sio kwa sababu ya unene wao,bali kwa sababu ya kukosa uchangamfu utokanao na hali ya kujiamni. Mtu akiwa na historia ya kuachika anajenga hofu ya kuchika katika uhusiano wowote ule, na hofu humfanya apoteze matumaini. Hali ya kutokuwa na matumaini humpunguzia mguvu ya kujiboresha yeye mwenyewe na kuboresha uhusiano anaoanzisha. Iwapo wanawake wanene hawaamini kuwa wao pia wanastahili mambo mazuri zaidi, basi watabaki katika tundu lenye huzuni na msikitiko tele.