Kati ya rappers wanaochipukia kutoka kusini huwezi kumuacha jamaa huyu anaeitwa FEMAS mbali na track kadhaa alizoachia kipindi cha nyuma Mwaka huu FEMAS katuletea kazi mpya kabisa inaitwa MALKIA ndani ya track hii pia utamsikia msanii mwingine aliyeshilikishwa anakwenda kwa jina la chriss jabari 'JABARI' .........usisahau kuacha comment pia kushare na washkaji wengine.
0 comments:
Post a Comment